Kanu (mnyama) : Tofauti kati ya masahihisho
Rescuing 1 sources and tagging 0 as dead.) #IABot (v2.0.8 |
Masahihisho katika sanduku |
||
Mstari 15: | Mstari 15: | ||
| jenasi = ''[[Genetta]]'' |
| jenasi = ''[[Genetta]]'' |
||
| bingwa_wa_jenasi = [[Lorenz Oken|Oken]], 1816 |
| bingwa_wa_jenasi = [[Lorenz Oken|Oken]], 1816 |
||
| subdivision = '''Spishi 14:''' |
|||
⚫ | |||
''[[Genetta |
* ''[[Genetta abyssinica|G. abyssinica]]'' <small>([[Eduard Rüppell|Rüppell]], 1836)</small><br> |
||
''[[Genetta |
* ''[[Genetta angolensis|G. angolensis]]'' <small>[[José Vicente Barbosa du Bocage|Bocage]], 1882</small><br> |
||
''[[Genetta |
* ''[[Genetta bourloni|G. bourloni]]'' <small>[[Gaubert]], 2003</small><br> |
||
''[[Genetta |
* ''[[Genetta cristata|G. cristata]]'' <small>[[Hayman]], 1940</small><br> |
||
''[[Genetta |
* ''[[Genetta genetta|G. genetta]]'' <small>([[Carolus Linnaeus|Linnaeus]], 1758)</small><br> |
||
''[[Genetta |
* ''[[Genetta johnstoni|G. johnstoni]]'' <small>[[Reginald Innes Pocock|Pocock]], 1908</small><br> |
||
''[[Genetta |
* ''[[Genetta maculata|G. maculata]]'' <small>([[John Edward Gray|Gray]], 1830)</small><br> |
||
''[[Genetta |
* ''[[Genetta pardina|G. pardina]]'' <small>[[Isidore Geoffroy Saint-Hilaire|I. Geoffroy Saint-Hilaire]], 1832</small><br> |
||
''[[Genetta |
* ''[[Genetta piscivora|G. piscivora]]'' <small>([[Joel Asaph Allen|J.A. Allen]], 1919)</small><br> |
||
''[[Genetta |
* ''[[Genetta poensis|G. poensis]]'' <small>[[Waterhouse]], 1838</small><br> |
||
''[[Genetta |
* ''[[Genetta servalina|G. servalina]]'' <small>[[Jacques Pucheran|Pucheran]], 1855</small><br> |
||
''[[Genetta |
* ''[[Genetta thierryi|G. thierryi]]'' <small>[[Paul Matschie|Matschie]], 1902</small><br> |
||
''[[Genetta |
* ''[[Genetta tigrina|G. tigrina]]'' <small>([[Johann Christian Daniel von Schreber|Schreber]], 1776)</small><br> |
||
⚫ | |||
}} |
}} |
||
'''Kanu''', '''kala''' au '''karasa''' ni [[mnyama|wanyama]] mbua wadogo wa [[jenasi]] ''[[Genetta]]'' katika [[familia (biolojia)|familia]] [[Viverridae]]. [[Kanu mlasamaki]] aliainishwa katika jenasi ''[[Osbornictis]]'' lakini wataalamu wameonyesha kama spishi hii ina mnasaba wa karibu na kanu wa jenasi ''Genetta''. Wanyama hawa ni warefu na wembamba wenye [[mkia]] mrefu, [[kichwa]] kidogo na [[sikio|masikio]] makubwa. Rangi yao ni nyeupe hadi njano na wana madoa meusi na mkia wenye miviringo. Mkia wao ni mrefu sana: 1-1.5 mara urefu wa mwili. Hiyo inawapa taraju wakisombea miti na kuchupa [[tawi|matawi]]. Wanatokea [[Afrika]] tu isipokuwa [[kanu madoa-madogo]] ambaye anatokea [[Rasi ya Iberia]] na [[Mashariki ya Kati]] pia. Kanu wana [[tezi]] kando ya mkundu zinazotoa aina ya [[zabadi]] ambayo inanuka sana. Hula wanyama wadogo, [[mjusi|mijusi]], [[ndege (mnyama)|ndege]] wadogo, [[amfibia]], [[mdudu|wadudu]] na hata [[tunda|matunda]]. |
'''Kanu''', '''kala''' au '''karasa''' ni [[mnyama|wanyama]] mbua wadogo wa [[jenasi]] ''[[Genetta]]'' katika [[familia (biolojia)|familia]] [[Viverridae]]. [[Kanu mlasamaki]] aliainishwa katika jenasi ''[[Osbornictis]]'' lakini wataalamu wameonyesha kama spishi hii ina mnasaba wa karibu na kanu wa jenasi ''Genetta''. Wanyama hawa ni warefu na wembamba wenye [[mkia]] mrefu, [[kichwa]] kidogo na [[sikio|masikio]] makubwa. Rangi yao ni nyeupe hadi njano na wana madoa meusi na mkia wenye miviringo. Mkia wao ni mrefu sana: 1-1.5 mara urefu wa mwili. Hiyo inawapa taraju wakisombea miti na kuchupa [[tawi|matawi]]. Wanatokea [[Afrika]] tu isipokuwa [[kanu madoa-madogo]] ambaye anatokea [[Rasi ya Iberia]] na [[Mashariki ya Kati]] pia. Kanu wana [[tezi]] kando ya mkundu zinazotoa aina ya [[zabadi]] ambayo inanuka sana. Hula wanyama wadogo, [[mjusi|mijusi]], [[ndege (mnyama)|ndege]] wadogo, [[amfibia]], [[mdudu|wadudu]] na hata [[tunda|matunda]]. |
Pitio la 18:37, 7 Desemba 2021
Kanu | ||||||||||||||||
---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|
Kanu madoa-madogo (Genetta genetta)
| ||||||||||||||||
Uainishaji wa kisayansi | ||||||||||||||||
| ||||||||||||||||
Ngazi za chini | ||||||||||||||||
Spishi 14:
|
Kanu, kala au karasa ni wanyama mbua wadogo wa jenasi Genetta katika familia Viverridae. Kanu mlasamaki aliainishwa katika jenasi Osbornictis lakini wataalamu wameonyesha kama spishi hii ina mnasaba wa karibu na kanu wa jenasi Genetta. Wanyama hawa ni warefu na wembamba wenye mkia mrefu, kichwa kidogo na masikio makubwa. Rangi yao ni nyeupe hadi njano na wana madoa meusi na mkia wenye miviringo. Mkia wao ni mrefu sana: 1-1.5 mara urefu wa mwili. Hiyo inawapa taraju wakisombea miti na kuchupa matawi. Wanatokea Afrika tu isipokuwa kanu madoa-madogo ambaye anatokea Rasi ya Iberia na Mashariki ya Kati pia. Kanu wana tezi kando ya mkundu zinazotoa aina ya zabadi ambayo inanuka sana. Hula wanyama wadogo, mijusi, ndege wadogo, amfibia, wadudu na hata matunda.
Spishi
- Genetta abyssinica, Kanu Habeshi (Abyssinian Genet au Ethiopian Genet)
- Genetta angolensis, Kanu-miyombo (Angolan Genet au Miombo Genet)
- Genetta bourloni, Kanu wa Bourlon (Bourlon's Genet)
- Genetta cristata, Kanu Ushungi (Crested Genet) - wataalamu wengine wanafikiri kwamba hii ni nususpishi ya Genetta servalina
- Genetta genetta, Kanu Madoa-madogo (Common Genet, European Genet au Small-spotted Genet)
- Genetta johnstoni, Kanu wa Johnston (Johnston's Genet)
- Genetta maculata, Kanu Madoa-kutu (Rusty-spotted Genet au Panther Genet)
- Genetta pardina, Kanu Madoa-makubwa Maghribi (Pardine Genet au West African Large-spotted Genet)
- Genetta piscivora, Kanu Mlasamaki (Aquatic Genet) – pengine inaainishwa katika jenasi Osbornictis
- Genetta poensis, Kanu Mfalme (King Genet)
- Genetta servalina, Kanu-mondo (Servaline Genet)
- Genetta thierryi, Kanu Hausa (Haussa Genet au Thierry's Genet)
- Genetta tigrina, Kanu Madoa-makubwa Kusi Cape Genet, Blotched Genet au South African Large-spotted Genet)
- Genetta victoriae, Kanu Mkubwa (Giant Genet)
Picha
-
Kanu-miyombo
-
Kanu-mondo
-
Kanu madoa-makubwa kusi
Marejeo
Wikispecies has information related to: Genetta |