[go: nahoru, domu]

Nenda kwa yaliyomo

Lugha za Kibantu : Tofauti kati ya masahihisho

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Content deleted Content added
rm credits
 
(marekebisho 41 ya kati na watumizi wengine 23 na yule ambaye hajaonyeshwa)
Mstari 1: Mstari 1:
[[Image:Lugha za Afrika ramani.PNG|right|350px|thumb|Ramani hii inaonyesha enezi la '''lugha za Kibantu''' (rangi ya machungwa) kulingana na lugha nyingine za Niger-Congo (rangi ya manjano).]]
[[Picha:Lugha za Afrika ramani.PNG|right|350px|thumb|[[Ramani]] hii inaonyesha enezi la '''lugha za Kibantu''' (rangi ya ma[[chungwa]]) kulingana na lugha nyingine za Niger-Congo (rangi ya manjano).]]
'''Lugha za Kibantu''' ni kundi la [[lugha]] ambalo ni [[tawi]] la [[lugha za Niger-Kongo]].


'''Lugha za Kibantu''' ni kundi la lugha ambalo liko tawi moja la [[lugha za Niger-Congo]]. Lugha za Kibantu huzungumzwa katika nchi za [[Kamerun]], [[Nigeria]], [[Gabon]], [[Guinea ya Ikweta]], [[Kongo]] zote mbili, [[Rwanda]], [[Burundi]], [[Uganda]], [[Kenya]], [[Tanzania]], [[Angola]], [[Zambia]], [[Malawi]], [[Msumbiji]], [[Zimbabwe]], [[Namibia]], [[Botswana]], na [[Afrika ya Kusini]]. Enezi hilo linaonyesha kwamba kundi la lugha za Kibantu ni kubwa kabisa barani mwa [[Afrika]], na idadi ya wasemaji Wabantu ni takriban milioni 310.
Lugha za Kibantu huzungumzwa hasa katika nchi za [[Nigeria]], [[Kamerun]], [[Guinea ya Ikweta]], [[Gabon]], [[Jamhuri ya Kongo]], [[Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo]], [[Rwanda]], [[Burundi]], [[Uganda]], [[Kenya]], [[Tanzania]], [[Komori]], [[Msumbiji]], [[Malawi]], [[Zambia]], [[Zimbabwe]], [[Angola]], [[Namibia]], [[Botswana]], [[Lesotho]], [[Eswatini]] na [[Afrika ya Kusini]].


Uenezi huo unaonyesha kwamba kundi la lugha za Kibantu ni kubwa kabisa [[bara]]ni [[Afrika]], na [[idadi]] ya wanaozitumia ni takriban watu [[milioni]] 310.
Neno la '''Bantu''', maana yake ni ''watu'' katika lugha nyingi za Kibantu. Shina lake ni ''-ntu'', na [[kiambishi awali]] cha ''ba-'' kinaonyesha [[uwingi]]. Kwa sababu hiyo, mtaalamu [[Wilhelm Heinrich Immanuel Bleek]] (aliyeishi 1827 hadi 1875) alitumia neno la '''Bantu''' kwa kurejea kundi la lugha hizo. Bleek alilinganisha [[sarufi]] za lugha mbalimbali za Kibantu, na baadaye [[Carl Meinhof]] alimfuata katika utafiti huo.


[[Neno]] ''Bantu'', maana yake ni ''watu'' katika lugha nyingi za kundi hilo. [[Shina]] lake ni ''-ntu'', na [[kiambishi awali]] cha ''ba-'' kinaonyesha [[uwingi]] wa [[viumbehai]]. Kwa sababu hiyo, [[mtaalamu]] [[Wilhelm Heinrich Immanuel Bleek]] (aliyeishi tangu mwaka [[1827]] hadi [[1875]]) alitumia neno hilo kwa kurejea kundi la lugha hizo. Bleek alilinganisha [[sarufi]] za lugha mbalimbali za Kibantu, na baadaye [[Carl Meinhof]] alimfuata katika [[utafiti]] huo.
Kuna mamia ya lugha za Kibantu; wataalamu wengine wanahesabu 300, wengine wanahesabu 600. Mtaalamu [[Malcolm Guthrie]] aliziainisha kulingana na maeneo ya kijiografia. Kila eneo limepata herufi yake—A, B, C, D, E, F, G, H, K, L, M, N, P, R na S—na ndani ya kila eneo kuna tarakimu tena. Pia, Guthrie alichunguza [[lugha ya nasaba]] ambayo ni chanzo cha lugha zote za Kibantu.


Kuna ma[[mia]] ya lugha za Kibantu; [[wataalamu]] wengine wanahesabu 300, wengine wanahesabu 600. Mtaalamu [[Malcolm Guthrie]] aliziainisha kulingana na maeneo ya ki[[jiografia]]. Kila eneo limepata [[herufi]] yakeA, B, C, D, E, F, G, H, K, L, M, N, P, R na Sna ndani ya kila eneo kuna [[tarakimu]] tena. Pia, Guthrie alichunguza [[lugha ya nasaba]] ambayo ni chanzo cha lugha zote za Kibantu.
==Tabia za Kibantu na historia ya lugha==
Lugha za Kibantu zina tabia mbalimbali za pamoja. Kati ya tabia hizi za pamoja ni viambishi awali na [[ngeli za nomino]].


== Tabia za Kibantu na historia ya lugha ==
Kutokana na sifa hizi wataalamu wa lugha wamekadiria ya kwamba asili ya lugha za Kibantu ilikuwepo katika maeneo ya [[Kamerun]] ya Kusini; kutoka huko wasemaji asilia wa Kibantu walihamia katika [[milenia ya pili KK]] [[Kongo]] hadi [[Zambia]]. Waliendelea kuhamahama na kupanuka hadi kufika maeneo yote walipo sasa. Sehemu kubwa ya maeneo ya wasemaji wa lugha za Kibantu zilikaliwa awali na wasemaji wa [[lugha za Khoikhoi]]. Wataalamu wamekadiria ya kwamba Wabantu walifaulu kunea kutokana na maarifa yao ya kilimo na hasa matumizi ya chuma katika zana za kilimo na pia silaha.
Lugha za Kibantu zina [[tabia]] mbalimbali za pamoja. Kati ya tabia hizo kuna viambishi awali na [[ngeli za nomino]].


Kutokana na [[sifa]] hizo wataalamu wamekadiria kwamba asili ya lugha za Kibantu ilikuwa katika maeneo ya [[Kamerun]] ya [[Kusini]]; kutoka huko wasemaji asilia wa Kibantu katika [[milenia ya pili KK]] walihamia [[Kongo]] hadi [[Zambia]]. Waliendelea kuhamahama na kupanuka hadi kufika maeneo yote walipo sasa.
Kati ya lugha za Kibantu zinazotumika zaidi ni Kiswahili na Kilingala. Lugha zenye wasemaji wengi kama lugha ya kwanza ni Kizulu na Kishona.


Sehemu kubwa ya maeneo ya wasemaji wa lugha za Kibantu zilikaliwa awali na wasemaji wa [[lugha za Khoisan]]. Wataalamu wamekisia kwamba Wabantu walifaulu kuenea kutokana na [[maarifa]] yao ya [[kilimo]] na hasa matumizi ya [[chuma]] katika [[zana]] za kilimo na pia [[silaha]].
==Lugha za Kibantu zenye wasemaji wengi==
''(Idadi ya wasemaji ni makadirio tu; bado zinatofautiana kati ya makala na makala)''
*[[Kiswahili]] na lahaja zake (wasemaji milioni 75) : [[Tanzania]], [[Kenya]], [[Uganda]], [[Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo]], [[Rwanda]], [[Burundi]], [[Komori]], [[Mayotte]], [[Msumbiji]], [[Somalia]].
*[[Kinyarwanda-Kirundi]] : (wasemaji milioni 15): Rwanda, Burundi
*[[Lingala]] (wasemaji milioni 10): Angola, Jamhuri ya Afrika ya Kati, [[Jamhuri ya Kongo]], Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo, [[Gabon]]
*[[Chichewa]] (wasemaji milioni 9) : [[Malawi]]
*[[Zulu]] (wasemaji milioni 9) : [[Afrika Kusini]]
*[[Shona]] (wasemaji milioni 7) : Msumbiji, [[Zambia]], [[Zimbabwe]]
*[[Kikongo]] (wasemaji milioni 6) : Angola, Jamhuri ya Kongo, Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo
*[[Chiluba]] (wasemaji milioni 6) : Jamhuri ya Kidemocrasia ya Kongo, [[Angola]]
*[[Gikuyu]] (wasemaji milioni 7) : Kenya


== Lugha za Kibantu zenye wasemaji wengi ==
Kati ya lugha za Kibantu zinazotumika zaidi kuna [[Kiswahili]] na [[Kilingala]]. Lugha zenye wasemaji wengi kama [[lugha ya kwanza]] ni [[Kizulu]] na [[Kishona]].


''(Idadi ya wasemaji ni makadirio tu; bado ina tofauti kati ya makala na makala)''
[[Category:Makundi ya lugha]]
* [[Kiswahili]] na [[lahaja]] zake (wasemaji milioni 150<ref>{{Cite web|title=Swahili|url=https://clp.arizona.edu/swahili|work=Critical Languages Program|date=2016-04-12|accessdate=2020-01-30|language=en|archiveurl=https://web.archive.org/web/20190504081655/https://clp.arizona.edu/swahili|archivedate=2019-05-04}}</ref>): [[Tanzania]], [[Kenya]], [[Uganda]], [[Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo]], [[Rwanda]], [[Burundi]], [[Komori]], [[Mayotte]], [[Msumbiji]], [[Somalia]].
[[Category:Lugha za Afrika]]
* [[Kinyarwanda]]-[[Kirundi]] : (wasemaji milioni 15): Rwanda, Burundi
* [[Lingala]] (wasemaji milioni 10): [[Angola]], [[Jamhuri ya Afrika ya Kati]], [[Jamhuri ya Kongo]], Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo, [[Gabon]]
* [[Chichewa]] (wasemaji milioni 9) : [[Malawi]]
* [[Kizulu]] (wasemaji milioni 9) : [[Afrika Kusini]]
* [[Kisukuma]] (wasemaji milioni 9) : Tanzania.
* [[Kishona]] (wasemaji milioni 7) : Msumbiji, [[Zambia]], [[Zimbabwe]]
* [[Gikuyu]] (wasemaji milioni 7) : Kenya
* [[Kikongo]] (wasemaji milioni 6) : Angola, Jamhuri ya Kongo, Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo
* [[Chiluba]] (wasemaji milioni 6) : Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo, [[Angola]]


==Tanbihi==
[[ast:Llingües del grupu bantú]]
{{reflist}}
[[az:Bantu dil ailəsi]]
{{mbegu-lugha}}
[[bn:বান্টু ভাষাসমূহ]]
{{DEFAULTSORT:Bantu}}
[[br:Yezhoù bantouek]]
[[ca:Llengües bantus]]
[[Jamii:Makundi ya lugha]]
[[cy:Ieithoedd Bantu]]
[[Jamii:Lugha za Afrika]]
[[Jamii:Lugha za Kibantu| ]]
[[da:Bantu (sprog)]]
[[de:Bantusprachen]]
[[el:Μπαντού γλώσσες]]
[[en:Bantu languages]]
[[eo:Bantua lingvaro]]
[[es:Lenguas bantúes]]
[[et:Bantu keeled]]
[[fa:زبان‌های بانتو]]
[[fi:Bantukielet]]
[[fr:Langues bantoues]]
[[hsb:Bantuske rěče]]
[[id:Bahasa Bantu]]
[[it:Lingue bantu]]
[[ja:バントゥー語群]]
[[kg:Bandinga ya kibantu]]
[[ko:반투어군]]
[[lt:Bantų kalbos]]
[[nl:Bantoetalen]]
[[nn:Bantuspråk]]
[[no:Bantuspråk]]
[[nov:Bantual lingues]]
[[pl:Języki bantu]]
[[pt:Línguas bantas]]
[[qu:Bantu rimaykuna]]
[[ru:Языки банту]]
[[sh:Bantu jezici]]
[[sk:Bantuské jazyky]]
[[sr:Банту (језик)]]
[[sv:Bantuspråk]]
[[ta:பான்டு மொழிகள்]]
[[tr:Bantu dil ailesi]]
[[uk:Банту мови]]
[[zh:班图语支]]

Toleo la sasa la 15:33, 7 Machi 2024

Ramani hii inaonyesha enezi la lugha za Kibantu (rangi ya machungwa) kulingana na lugha nyingine za Niger-Congo (rangi ya manjano).

Lugha za Kibantu ni kundi la lugha ambalo ni tawi la lugha za Niger-Kongo.

Lugha za Kibantu huzungumzwa hasa katika nchi za Nigeria, Kamerun, Guinea ya Ikweta, Gabon, Jamhuri ya Kongo, Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo, Rwanda, Burundi, Uganda, Kenya, Tanzania, Komori, Msumbiji, Malawi, Zambia, Zimbabwe, Angola, Namibia, Botswana, Lesotho, Eswatini na Afrika ya Kusini.

Uenezi huo unaonyesha kwamba kundi la lugha za Kibantu ni kubwa kabisa barani Afrika, na idadi ya wanaozitumia ni takriban watu milioni 310.

Neno Bantu, maana yake ni watu katika lugha nyingi za kundi hilo. Shina lake ni -ntu, na kiambishi awali cha ba- kinaonyesha uwingi wa viumbehai. Kwa sababu hiyo, mtaalamu Wilhelm Heinrich Immanuel Bleek (aliyeishi tangu mwaka 1827 hadi 1875) alitumia neno hilo kwa kurejea kundi la lugha hizo. Bleek alilinganisha sarufi za lugha mbalimbali za Kibantu, na baadaye Carl Meinhof alimfuata katika utafiti huo.

Kuna mamia ya lugha za Kibantu; wataalamu wengine wanahesabu 300, wengine wanahesabu 600. Mtaalamu Malcolm Guthrie aliziainisha kulingana na maeneo ya kijiografia. Kila eneo limepata herufi yake — A, B, C, D, E, F, G, H, K, L, M, N, P, R na S — na ndani ya kila eneo kuna tarakimu tena. Pia, Guthrie alichunguza lugha ya nasaba ambayo ni chanzo cha lugha zote za Kibantu.

Tabia za Kibantu na historia ya lugha

Lugha za Kibantu zina tabia mbalimbali za pamoja. Kati ya tabia hizo kuna viambishi awali na ngeli za nomino.

Kutokana na sifa hizo wataalamu wamekadiria kwamba asili ya lugha za Kibantu ilikuwa katika maeneo ya Kamerun ya Kusini; kutoka huko wasemaji asilia wa Kibantu katika milenia ya pili KK walihamia Kongo hadi Zambia. Waliendelea kuhamahama na kupanuka hadi kufika maeneo yote walipo sasa.

Sehemu kubwa ya maeneo ya wasemaji wa lugha za Kibantu zilikaliwa awali na wasemaji wa lugha za Khoisan. Wataalamu wamekisia kwamba Wabantu walifaulu kuenea kutokana na maarifa yao ya kilimo na hasa matumizi ya chuma katika zana za kilimo na pia silaha.

Lugha za Kibantu zenye wasemaji wengi

Kati ya lugha za Kibantu zinazotumika zaidi kuna Kiswahili na Kilingala. Lugha zenye wasemaji wengi kama lugha ya kwanza ni Kizulu na Kishona.

(Idadi ya wasemaji ni makadirio tu; bado ina tofauti kati ya makala na makala)

Tanbihi

  1. "Swahili". Critical Languages Program (kwa Kiingereza). 2016-04-12. Ilihifadhiwa kwenye nyaraka kutoka chanzo mnamo 2019-05-04. Iliwekwa mnamo 2020-01-30.
Makala hii kuhusu mambo ya lugha bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Lugha za Kibantu kama historia yake, uenezi au maendeleo yake?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.