[go: nahoru, domu]

Nenda kwa yaliyomo

2 Februari

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Pitio kulingana na tarehe 20:56, 15 Oktoba 2023 na InternetArchiveBot (majadiliano | michango) (Rescuing 1 sources and tagging 0 as dead.) #IABot (v2.0.9.5)
Jan - Februari - Mac
1 2 3 4 5 6 7
8 9 10 11 12 13 14
15 16 17 18 19 20 21
22 23 24 25 26 27 28
29
Kalenda ya Gregori

Tarehe 2 Februari ni siku ya thelathini na tatu ya mwaka. Mpaka uishe zinabaki siku 332 (333 katika miaka mirefu).

Matukio

Waliozaliwa

Waliofariki

Sikukuu

Wakristo wengi, wakifuata mapokeo ya Roma, huadhimisha sikukuu ya mtoto Yesu kutolewa hekaluni siku arubaini baada ya kuzaliwa; pia huadhimisha kumbukumbu za watakatifu Floskolo wa Orleans, Laurenti wa Canterbury, Burkado wa Wurzburg, Katerina wa Ricci, Yoana wa Lestonnac, Nikola wa Longobardi, Yohane Theofani Venard, Fransisko Coll, Maria Katharina Kasper, Maria Dominika Mantovani n.k.

Viungo vya nje

WikiMedia Commons
WikiMedia Commons
Wikimedia Commons ina media kuhusu:
Makala hii kuhusu mambo ya kihistoria bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu 2 Februari kama enzi zake au matokeo yake?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.